Saturday 30 May 2015

Mkutano wa Chama Mada Kuhusu Katiba.

Ndugu Steve Kimea Mgombea tiketi ya chama cha democrasia na maendereo chadema jimbo la Korogwe Mjini Akiwa Na Mnadhimu Mkuu wa Kambi ya Upinzani Tundu Lissu, Mbunge wa Singida Mashariki (Chadema) na Mbunge wa Iringa Mjini (Chadema), Mchungaji Peter Msigwa kwenye mkutano wa Semina ya ufahamu kuhusu katiba jijini Dar es salaam.
Inaendelea.......

Mh. Steve Kimea

Ndg. Steve Kimea. Akizindua Tawi, Shina la Madereva Jangwani katika harakati za kuleta Tumaini Jipya. Tafadhali Tupe kura yako kwa maendeleo ya Jimbo letu la Korogwe..

Mgombea Ndg, Kimea akiwa kwenye mkutano wa pamoja na Wazee katika jimbo la Korogwe.

Mkutano wa baraza la wazee Jimbo la korogwe mjini-Mh Stephen Kimea.