Monday 15 June 2015

Kumekucha Korogwe Mjini.

CCM HAWANA SULUHISHO LA MATATIZO YETU KWA MIAKA 50 SASA WASITUDANGANYE WATAKUJA NA SULUHISHO OCTOBER 2015. TATIZO LETU KUBWA 
NI CCM NA WAGOMBEA WAO TUWAKATAE KATIKA SANDUKU LA KURA  2015.  

Njiani Kuelekea frontline Kulia Ni Kamanda Steve Kimea ambae ndie Mgombea Ubunge
 Jimbo la Korogwe Mjini.
 
Vijana Bavicha Korogwe mjini wakimsikiliza Mgombea Ubunge Jimbo la Korogwe Mjini
Kamanda Steve Kimea wakimfatilia kwa Makini.
 Mkutano wa Bavicha Jimbo la Korogwe Mjini.
Mgombea Ubunge Jimbo La Korogwe Mjini Kamanda Kimea, akibadilishana  Mawazo na Kamanda Katika  jimbo la Korogwe vijijini

No comments:

Post a Comment