Thursday 4 June 2015

Wanachama Wapya Waliochukua Kadi Ya Uwanachama

Mgombea Ubunge Jimbo la Korogwe Mjini Ndugu Steve Kimea akiwa na wanachama wapya waliochukua kadi ya uwanachama wa Chama Cha Democrasia Na Maendeleo Chadema.Hizo ni moja wapo kati ya majukumu ya mgombea huyo katika kuwaelimisha wananchi wa Korogwe mjini na katika Mitaa, vijiji na vitongoji, mwaka huu ni mwaka wa mabadiliko.
 Safari ya amani na upendo ndani ya Korogwe Mjini mpaka kieleweke 2015.


No comments:

Post a Comment