Saturday 30 May 2015

Mh. Steve Kimea

Ndg. Steve Kimea. Akizindua Tawi, Shina la Madereva Jangwani katika harakati za kuleta Tumaini Jipya. Tafadhali Tupe kura yako kwa maendeleo ya Jimbo letu la Korogwe..

Mgombea Ndg, Kimea akiwa kwenye mkutano wa pamoja na Wazee katika jimbo la Korogwe.

Mkutano wa baraza la wazee Jimbo la korogwe mjini-Mh Stephen Kimea.

No comments:

Post a Comment