Thursday 11 June 2015

Mgombea Ubunge Jimbo la Korogwe Mjini

Ndugu Steve Kimea 
Mgombea Ubunge Jimbo la Korogwe Mjini, Kwa Chama Cha Democrasia Na Maendeleo Chadema ambaye ni Tumaini jipya la wana Korogwe mwenye dhamiri ya dhati katika kuleta mabadiliko katika jimbo la Korogwe Mjini. Na kuanzia Tarehe 18/06/2015. Ni tarehe za kujiandikisha kupiga kura kwa wakazi wa Manundu, Kilole,Old Korogwe, Mtonga, Kwamsisi, Mgombezi,kwandolwa na magunga. Napenda kuchukua fursa hii kukusihi Mwana Korogwe mwenzangu ujitokeze kwa wingi kuandikishwa katika vituo ambavyo vitategwa kumbuka ni haki yako ya muhimu itakayo leta mabadiliko ya kiuchumi na kimaendeleo.Hivyo utakapo sikia mtaharifu na mwenzio ili mtu hasikose kushiriki haki hii ya msingi kwa kila mwana Korogwe Mjini na wananchi wote kwa ujumla. Haki hii inawahusu wale wote wenye sifa na waliotimiza umri wa miaka 18 na watakaofikisha umri wa miaka 18 ifikapo mwenzi Octoba.


1 comment: