Wednesday 5 August 2015

Picha za tukio la Mkutano Mkuu wa Chadema


Mgombea Urais kupitia Chadema Ndugu Edward Lowassa akizungumza na wajumbe wa mkutano mkuu wa Chadema mara baada ya kumpitisha kugombea kwa vyama vua UKAWA.
 
Mgombea Mwenza wa kupitia Chadema Juma Haji Duni akizungumza katika mkutano huo.

 Mwenyekiti Mwenza wa UKAWA na Mwenyekiti wa NCCR Mageuzi akizungumza katika mkutano huo.
Edward Lowassa akisalimiana na Mwenyekiti wa NCCR Mageuzi James Mbatia.















No comments:

Post a Comment